Back to home

Familia Mombasa yamtafuta mtoto wa miezi mitano aliyetoweka kwa wiki mbili sasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
2h ago
Familia moja mtaani Soweto - Kongwea kaunti ya Mombasa inamtafuta mtoto wao wa miezi mitano ambaye alitoweka tangu februari 7. Kulingana na familia hiyo, rafiki yao aliyekuwa amepewa hifadhi nyumbani kwao kwa muda ndiye aliyetoweka na mtoto huyo kwa takriban wiki mbili sasa
Advertisement