Back to home

Gavana wa Nairobi Sakaja asaini mkataba wa ushirikiano na serikali ya rais Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
3h ago
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja hatimaye ametia saini mkataba wa ushirikiano na serikali ya kitaifa ambayo sasa itatekeleza baadhi ya majukumu yake. Mkataba huo utakaoanza kutekelezwa siku kumi na nne kuanzia hii leo, utaipa kaunti ya nairobi shilingi bilioni 80 zaidi kuimarisha
Advertisement