Back to home
Demokrasia ya maelewano Garissa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
2h ago
Jamii ya Samawathal kupitia wazee wa jamii pamoja na Sultani wao imemtangaza Seneta wa sasa wa Kaunti ya Garissa, Abdul Yussuf Haji, kuwa mgombea rasmi wa jamii hiyo katika kinyang’anyiro cha ugavana wa mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement




