Back to home
Uharibifu wa Kaya umeathiri shughuli za kitamaduni Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
2h ago
Shughuli za wazee wa Kaya Gandini na Kaya Mtswakara eneo la Kinango katika kaunti ya Kwale zimetatizika kwa muda kutoka na uharibifu wa vifaa vya kitamaduni wanavyotumia kufanyia maombi, matambiko na ibada maalum. Baadhi ya vifaa hivyo ni vinu na vyungu vinavyowekwa kwenye sehemu
Advertisement
Advertisement


