Back to home

Wakaazi wa kaunti ya Makueni wameanza kutoa maoni yao kuhusu miradi wanayotaka itekelezwe na serikal

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
3h ago
Wakaazi wa kaunti ya Makueni wameanza kutoa maoni yao kuhusu miradi wanayotaka itekelezwe na serikali ya kaunti hiyo kwenye bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2026/2027. Aidha wanasema ipo haja ya mgao wa kaunti kuongezwa ili kutatua maswala mengi yanayowakabili huku wakimtaka Gavana
Advertisement