Back to home

Mahakama ya Mombasa yahukumu afisa wa polisi gerezani kwa mauaji Likoni

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
2h ago
Baada ya miaka minane ya kutafuta haki ya mauaji ya mwana wao wa miaka 20 yaliyotekelezwa na afisa wa polisi, familia moja eneo la Likoni sasa imeshusha pumzi. Hii ni baada ya mahakama ya Mombasa juma lililopita kumuhukumu kifungo cha maisha gerezani aliyekuwa afisa mkuu wa polis
Advertisement