Back to home

Timboroa: Familia yapata ujumbe kuwa huenda mwana wao alifariki Katika vita kati ua Urusi na Ukraine

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 19, 2026
2h ago
Familia ya Chifu WA kata ya Timboroa Kaunti ya Baringo, imewachwa katika hali Njia panda na huzuni, baada ya kupokea Habari kuwa huenda mwana wao alifariki Katika vita vinayoendelea Kati ya nchi ya Urusi na Ukraine. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement