Back to home

Mahakama Kuu ya Nyeri yatoa hukumu ya kifo kwa mwanamume aliyemuua mtoto Tamara Blessing

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 19, 2026
2h ago
Mahakama Kuu ya Nyeri imetoa hukumu ya kifo dhidi ya mwanaume mmoja baada ya kumpata na hatia ya kumuua mtoto Tamara Blessing mwenye umri wa miaka saba na kumzika chini ya kitanda chake. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Keny
Advertisement