Back to home
Watu 4 wanaohusishwa na ukataji wa miti msituni wakamatwa Bangale Tana River
video
C
Citizen TV (Youtube)February 20, 2026
3h ago
Watu 4 wamekamatwa na maafisa wa kulinda misitu na wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Bangale,kwa tuhuma za kuendesha shughuli haramu ya ukataji miti na uchomaji haramu wa makaa ndani ya Misitu ya jamii, kaunti ya Tana River
Advertisement
Advertisement




