Back to home

Ida Odinga ahojiwa na bunge baada ya kuteuliwa kama balozi wa UNEP

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 20, 2026
1w ago
Kamati ya bunge kuhusu masuala ya kigeni inamhoji Ida Betty Odinga kuhusiana na kuteuliwa kwake na Rais William Ruto kama balozi wa kudumu wa kenya katika Shirika la umoja wa mataifa kuhusu mazingira (UNEP) yenye makao yake eneo la Gigiri jijini Nairobi. Ida ni mjane wake Hayati
Advertisement