Back to home
Wandani wa Profesa Kindiki watetea nafasi yake, wanasema Oburu aende polepole
video
C
Citizen TV (Youtube)February 22, 2026
3h ago
Siasa za unaibu rais kwenye uchaguzi mkuu ujao zimeendelea huku sasa wandani wa naibu Rais Profesa Kithure Kindiki wakisema katu hawatapokonywa kiti hicho. Wakizungumza kwenye mkutano kaunti ya embu, viongozi hao walioandamana na naibu wa rais wamemtaka kinara wa ODM Oburu Oginga
Advertisement
Advertisement




