Back to home
Watu 20 wakamatwa kwenye operesheni ya magenge Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)February 23, 2026
1h ago
Zaidi ya watu ishirini wamekamatwa kwenye operesheni ya kiusalama iliyolenga magenge yanayowahangaisha wakazi wa maeneo kadhaa ya kaunti ya Nakuru. Operesheni hii ikiendeshwa katika mitaa ya London, Gioto na Hilton ambapo wahalifu wamekuwa wakiwavamia na kuwajeruhi wakazi. Kwa mu
Advertisement
Advertisement




