Back to home

Wasichana 500 wa 'Girl Guides' wakutana Homa Bay

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
2h ago
Wasichana ambao ni wanachama wa Kenya Girl Guides wamejitokeza kuzungumzia changamoto zinazowakumba wasichana zikiwemo mimba za utotoni na dhulma dhidi yao. Changamoto hizi zikiathiri pakubwa elimu ya wasichana katika kaunti ya Homa bay. Walikuwa wakizungumza huko Homa Bay katika
Advertisement