Back to home

Wizara ya afya imetia saini mkataba na kaunti 3 kuimarisha vituo vya saratani

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
2h ago
Wizara ya Afya imetia saini mkataba na kaunti tatu za Nakuru, Garissa na Mombasa wa kutoa huduma maalum za ugonjwa wa saratani kwa wakazi wa kaunti hizo. Makubaliano hayo yatahakikisha vituo vya kutoa matibabu ya saratani vinafanya kazi kama vinavyofaa. Waziri wa Afya Aden Dua
Advertisement