Back to home

Familia eneo la sabatia Vihiga yadai haki kwa kifo

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
2h ago
Familia moja eneo la sabatia kaunti ya Vihiga inalilia haki baada ya mama mjamzito kufariki akijifungua katika hospitali ya kimisheni eneo la mukumu kaunti ya Kakamega. Familia ya Grace Wambui misigo inadai kuwa wauguzi katika hospitali hiyo walimdhulumu hadi kufariki akijifungua
Advertisement