Back to home
Sheikh Eid Ali adaiwa kuwalawiti watoto 12 Nyeri
video
C
Citizen TV (Youtube)February 23, 2026
2h ago
Polisi katika eneo la Othaya kaunti ya Nyeri wamepewa idhini ya kumzuia kwa siku 10 zaidi Sheikh Eid Ali, kwa madai ya kuwalawiti Watoto 12, kati ya mwaka wa 2022 na 2025, walipokuwa wakihudhuria mafunzo ya kidini
Advertisement
Advertisement
