Back to home
Wizara ya Elimu imetoa onyo kali dhidi ya watu wasiosajiliwa na Tume ya Huduma kwa Walimu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 24, 2026
1h ago
Wizara ya Elimu imetoa onyo kali dhidi ya watu wasiosajiliwa na Tume ya Huduma kwa Walimu kuingia shuleni na kutoa mafunzo yoyote, ikiwemo uigizaji pamoja na michezo mbalimbali kwa wanafunzi.
Advertisement
Advertisement


