Back to home
Kituo kipya cha polisi chazinduliwa katika eneo la Chandira Turi, Molo
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 24, 2026
1h ago
Wakazi wa Chandira Turi, Molo, wameonyesha furaha baada ya serikali kufungua kituo kipya cha polisi na kumteua OCS atakayekiendesha, kama sehemu ya mpango wa kuimarisha usalama katika kaunti ndogo ya Molo.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday.
Advertisement
Advertisement




