Back to home

Harambee Starlets kusafiri kuenda Abidjan ili kucheza mechi mbili za kirafiki kujiandaa kwa WAFCON

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 24, 2026
3h ago
Timu ya soka ya wanawake ya Harambee Starlets, itaondoka kuelekea Abidjan Jumamosi hii, tarehe 28 Februari, kucheza mechi mbili za kirafiki kujiandaa kwa Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Ken
Advertisement