Back to home
Maraga: Lazima Ruto aondoke, niko tayari kuahirisha azma yangu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 24, 2026
2h ago
Kinara wa chama cha UGM, Jaji Mkuu Mstaafu David Maraga, amegusia uwezekano wa kujiunga na wenzake katika upinzani, iwapo hiyo ndiyo itakuwa njia ya pekee kumbandua rais William ruto mamlakani.
Advertisement
Advertisement




