Back to home

Maraga: Lazima Ruto aondoke, niko tayari kuahirisha azma yangu

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 24, 2026
2h ago
Kinara wa chama cha UGM, Jaji Mkuu Mstaafu David Maraga, amegusia uwezekano wa kujiunga na wenzake katika upinzani, iwapo hiyo ndiyo itakuwa njia ya pekee kumbandua rais William ruto mamlakani.
Advertisement