Back to home
Wanaopinga serikali waondolewa kwa kamati nono bungeni
video
C
Citizen TV (Youtube)February 25, 2026
3h ago
Baadhi ya wabunge wanaopinga serikali waliondolewa kutoka kwa baadhi ya kamati zenye ushawishi mkubwa katika bunge la kitaifa, watetezi wapya wa serikali wakipewa nafasi hizo.
Katika mabadiliko hayo, mbunge wa Suba South Caroli Omondi aliondolewa kutoka wadhfa wake wa mwenyekiti
Advertisement
Advertisement





