Back to home

Mshukiwa wa kesi ya shakahola aeleza alivyouza shamba kwa shilingi 700,000

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 25, 2026
3h ago
Mshukiwa wa mauwaji ya Shakahola aliyekiri makosa aliieleza mahakama ya Mombasa jana, jinsi alivyouza shamba lake Nairobi na kujipata msituni Shakahola. Enos Amanya alifichuwa kwamba kulikuwa na zaidi ya watu 900 msituni na mfungo ulianza baada ya wazee wa baya mwaro kuwataka wao
Advertisement