Back to home
Teso Kusini: NMG yazindua NIE katika shule ya upili ya wasichana ya Mtakatifu Monica Chakol
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 25, 2026
2h ago
Furaha na nderemo zimeshuhudiwa katika shule ya upili ya wasichana ya Mtakatifu Monica Chakol katika eneo bunge la Teso Kusini kaunti ya Busia baada ya shirika la Nation Media Group kuzindua mpango wa magazeti katika masomo au NIE.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenya
Advertisement
Advertisement




