Back to home
Serikali imeanzisha huduma za usaidizi za Mamlaka ya mali za kifedha zisizodaiwa (UFAA) Nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)February 26, 2026
2h ago
Serikali imeanzisha huduma za usaidizi za Mamlaka ya mali za kifedha zisizodaiwa (UFAA) katika Vituo vya Huduma kote nchini.
Hatua hii inapaniwa kuwawezesha Wakenya kurejesha mabilioni ya pesa zilizoachwa na jamaa na wenzi wa ndoa waliofariki.
Advertisement
Advertisement





