Back to home

Nairobi: Wakazi waibua hofu kuhusu mkataba wa ushirikiano kati ya Serikali ya Kaunti na Serikali Kuu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 26, 2026
4h ago
Wakazi wa Jiji la Nairobi wameonyesha wasiwasi wao kuhusu mkataba wa ushirikiano kati ya Serikali ya Kaunti ya Nairobi na Serikali Kuu, wakilalamikia muda mfupi waliotengewa kuwasilisha maoni yao katika zoezi la ushirikishaji wa umma. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Ke
Advertisement