Back to home
Waziri wa Afya Aden Duale aeleza Seneti kuhusu maendeleo ya SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)February 27, 2026
2h ago
Waziri wa Afya Aden Duale amepuuza madai kwamba shillingi billioni Kumi na moja pesa za umma zimefujwa katika Bima ya Afya ya SHA akisema kwamba ni pesa zilzodaiwa kwa njia isiyofaa na hospitali tofauti na kwamba ni pesaa ambazo hazitalipwa iwapo stakabadhi zitapatikana kuwa ghus
Advertisement
Advertisement




