Back to home

Wito wa Amani: Askofu wa ACK Makueni awataka wanasiasa kusitisha kampeni

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 27, 2026
2h ago
Askofu wa kanisa la kiangilikana kaunti ya Makueni Francis Matui amewaonya wanasiasa dhidi ya kampeini za mapema anazosema zimendelea kupandisha joto la kisiasa nchini. Kauli ya askofu huyo inajiri huku wakenya wakieleleza wasiwasi wao kutokana na ghasia ambazo zimekuwa zikishuhu
Advertisement