Back to home
UDA yatinga ushindi kwa viti vyote vinne katika uchaguzi mdogo
video
C
Citizen TV (Youtube)February 27, 2026
2h ago
Chama cha UDA kimetawala katika chaguzi ndogo ziliozofanyika Alhamisi, kwa kupata viti vyote vinne vilivyokuwa vikiwaniwa. Katibu mkuu wa chama hicho, Hassan Omar, amesema kuwa ushindi huo unaonyesha ubabe wa chama hicho mashinani na kueleza imani ya wapiga kura kwa Rais William
Advertisement
Advertisement




