Back to home

Watoto wanne ndugu waliozama wakiogelea wazikwa Kisumu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 28, 2026
1h ago
Hali ya huzuni ilitanda katika kijiji cha Kanyakwar huko Kisumu wakati wa mazishi ya watoto wanne ndugu ambao walizama wakiogelea katika mabwawa yaliokuwa yameachwa wazi wiki tatu zilizopita. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told b
Advertisement