Back to home
Polisi auawa na wenzake watatu kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na magaidi kituoni Kakamega
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 28, 2026
1h ago
Afisa mmoja wa polisi ameuawa na wenzake watatu kujeruhiwa, akiwemo raia mmoja, baada ya shambulio la kikatili lililotekelezwa kwenye Kituo cha Polisi cha Musanda, kilichopo katika eneo la Mumias Magharibi, Kaunti ya Kakamega.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenya
Advertisement
Advertisement




