Back to home
Wafanyabiashara wataka soko jipya la Ishiara lifunguliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)March 2, 2026
3h ago
Wafanyabiashara katika Soko la Ishiara, Kaunti Ndogo ya Mbeere Kaskazini, wanaiomba serikali kuharakisha ufunguzi rasmi wa soko jipya la kisasa ambalo tayari limekamilika.
Wafanyabiashara hao wanasema soko hilo la ghorofa mbili limekamilika na vibanda vya biashara vimewekwa tayar
Advertisement
Advertisement




