Back to home
Familia yalilia haki kufuatia kifo cha mtoto na mwanamke mjamzito katika Hospitali ya Mama Lucy
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 3, 2026
2h ago
Familia moja katika eneo la kayole jijini Nairobi, inadai haki kufuatia kifo cha mtoto na mwanamke mjamzito katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki. Viona Munai, mwenye umri wa miaka 28, aling’olewa jino kwenye hospitali hiyo wiki iliopita baada ya kufikishwa hospitalini kwa maumi
Advertisement
Advertisement



