Back to home
Mombasa: chama cha madaktari yatangaza kuanza kwa mgomo kufuatia kumalizika kwa makataa ya siku saba
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 3, 2026
1h ago
Huduma za afya katika hospitali za umma jijini Mombasa zinatarajiwa kusimama kuanzia usiku wa manane baada ya chama cha madaktari kutangaza kuanza kwa mgomo rasmi kufuatia kumalizika kwa makataa ya siku saba.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement
Advertisement



