Back to home
Serikali bado kimya kuhusu makamanda wa wapiganaji wa RSF Sudan kupewa pasipoti
video
C
Citizen TV (Youtube)March 4, 2026
1h ago
Serikali bado imesalia kimya kuhusiana na utumizi mbaya wa mamlaka katika idara ya usalama na ile ya uhamiaji kwa madai ya kutoa paspoti za Kenya kwa wapiganaji wa Sudan. Wizara hizi mbili bado hazijatoa taarifa yoyote hadi sasa, haswa kuhusiana na vyeti vya usafiri vilivyotolewa
Advertisement
Advertisement


