Back to home
Wakulima washauriwa kupanda mbegu zilizoidhinishwa Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)March 4, 2026
1h ago
Huku msimu wa mvua za masika ukianza, wakulima katika kaunti ya Busia wamehusishwa katika mafunzo ya kilimo pamoja na mbinu za kisasa za kukabili hasara zinazoshuhudiwa katika sekta hiyo.
Kulingana na baadhi ya wakulima, masaibu yao yanatokana na ukosefu wa mbegu halali pamoja na
Advertisement
Advertisement



