Back to home

Nairobi United yatoka sare na KCB, yasalia nafasi ya kumi kwenye ligi kuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 4, 2026
3h ago
Timu ya Nairobi united imesalia katika nafasi ya kumi kwenye jedwali la ligi kuu ya kandanda baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na timu ya KCB kwenye mechi pekee ya ligi siku ya jumatano. Wanabenki wa kcb walitangua kupata bao katika dakika ya kumi kabla ya nairobi united kusawazish
Advertisement