Back to home

ODM yasema hakuna makataa ya ripoti za utekelezaji wa ajenda 10

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 4, 2026
2h ago
Baraza la kitaifa la chama cha ODM sasa kinasema kuwa hakukuwa na makataa ya kuwasilisha ripoti kuhusu utekelezaji wa ajenda zake kumi kufikia tarehe saba mwezi machi mwaka huu. Chama hicho kinasema kuwa mchakato huo ni endelevu na hauna muda kamili wa kukamilishwa. Aidha viongoz
Advertisement