Back to home

Baadhi ya wanafunzi wameshindwa kuingia sekondari ya juu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 5, 2026
3h ago
Licha ya serikali kutoa hakikisho mara nyingi kwamba Wizara ya Elimu imefanikisha mpito wa asilimia 100 ya wanafunzi wa Gredi ya 10, bado kuna baadhi ya wanafunzi waliokwama nyumbani kutokana na changamoto za kifedha. Uchunguzi wa runinga ya Citizen TV unaonyesha kuwa hata wanafu
Advertisement