Back to home

Natembeya hana kesi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 5, 2026
2h ago
Baada ya mahakama kumwachilia huru gavana wa kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, kwa ukosefu wa ushahidi kuhusu kesi iliyokuwa inamwandama, baadhi ya wakazi wa kaunti hiyo sasa wanashinikiza kujiuzulu kwa maafisa wakuu wa EACC.
Advertisement