Back to home

Majonzi yatanda kwenye ibada ya walioangamia Nandi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 5, 2026
2h ago
Hisia zilitanda wakati wa hafla ya wafu iliyoandaliwa kwa marehemu mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng'eno na waathiriwa wengine wanne wa ajali ya ndege iliyotokea huko Nandi. Maelfu ya wakazi wa eneobunge la Emurua Dikirr walijitokeza kupokea maiti, huku waliohutubu wakiendelea ku
Advertisement