Back to home

Rigathi Gachagua adai kuna njama ya wizi wa kura katika uchaguzi wa 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 6, 2026
7h ago
Viongozi wa mrengo wa upinzani wakiongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua wamemshtumu naibu rais Kithure Kindiki wakidai anatumika kuwagawanya watu wa mlima kenya kabla ya uchaguzi wa mwaka 2027. Wakizungumza walipozuru kaunti za Tharaka Nithi na Meru viongozi hao pia wameshtu
Advertisement