Back to home

Mvua kubwa yasababisha maafa jijini Nairobi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 7, 2026
1h ago
Mvua kubwa iliyonyesha jijini Nairobi jana usiku ilisababisha maafa na mafuriko makubwa yaliyoathiri maeneo kadhaa ya jiji, barabara kuu zikifurika na wakazi wa jiji la Nairobi wakilazimika kukesha nje kwa kushindwa kufika majumbani kwa wakati. Subscribe and watch NTV Kenya liv
Advertisement