Back to home
Kampuni zinazotumia kemikali kusafisha dhahabu zalaumiwa kwa kutumia kemikali hatari Suna Mashariki
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
7h ago
Wakazi katika eneo la namba kaunti ndogo ya Suna Mashariki wameghadhabishwa na ongezeko la Kampuni ya kusafisha dhahabu Kwa kutumia kemikali ambazo zinadhuru afya ya binadamu na kuchafua mazingira.
Wakazi hao wanaeleza kuwa Kampuni hizo za kusafisha dhahabu kwa kutumia kemikali z
Advertisement
Advertisement




