Back to home

Timu 21 zashiriki Thika katika mashindano ya karate Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 9, 2026
2h ago
Katika kaunti ya Nakuru, mchezo wa karate uliandaliwa siku ya jumapili katika uwanja wa menengai nakuru mashariki ikiwa ni matayarisho na kuchagua timu ya kuwakilisha kaunti ya nakuru katika michuano ya kitaifa ya kenya open ambayo inatarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu. Mashind
Advertisement