Back to home
Familia za waathiriwa wa mkasa wa mgodi Kapsabet zinadai haki inacheleweshwa miaka 3 baadaye
video
C
Citizen TV (Youtube)March 10, 2026
2h ago
Familia za waathiriwa wa mlipuko uliotokea katika mgodi wa dhahabu wa Karebe mwaka 2023 walifika katika Mahakama ya Kapsabet wakitaka haki kwa jamaa zao waliopoteza maisha katika tukio hilo. Jamaa hao walikusanyika nje ya mahakama wakiwa wamebeba mabango wakitoa wito kwa mamlaka
Advertisement
Advertisement





