Back to home
Ndindi Nyoro asisitiza bei ya mafuta haipasi kuongezeka nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)March 10, 2026
2h ago
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro, ameitaka serikali na mamlaka ya udhibiti bei ya petroli EPRA kuhakikisha bei ya mafuta haziongezeki, akibainisha kwamba mafuta iliyoko nchini ilinunuliwa kabla ya kupanda kwa bei za kimataifa.
Akizungumza katika eneo la kahuro wakati wa ufunguzi ra
Advertisement
Advertisement



