Back to home

Kikosi cha wapiga mbizi wakongwe 17 wa humu nchini kimeondoka kuelekea afrika kusini

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 10, 2026
4h ago
Kikosi cha wapiga mbizi wakongwe 17 wa humu nchini kimeondoka kuelekea afrika kusini kushiriki mashindano ya kimataifa ya kuogelea yatakayofanyika mjini george.
Advertisement