Back to home
Makueni: mashabiki wa klabu ya Chelsea wajitosa katika kampeni ya kuchanga damu
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 10, 2026
1h ago
Katika juhudi za kutoa mchango kwa jamii, mashabiki wa klabu ya Chelsea kutoka ukanda wa kusini mashariki walijitosa katika kampeni ya kuchanga damu iliyofanyika katika hospitali ya Makindu, kaunti ya Makueni.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and every
Advertisement
Advertisement




