Back to home

Rais Ruto auunda kamati ya watu wanane kusimamia ushirikiano wa ODM na UDA

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 10, 2026
3h ago
Rais William Ruto ametangaza kuundwa kwa kamati maalum ya watu wanane ya kutekeleza ushirikiano kati ya chama cha ODM na UDA, na kusaidia kutekelezwa kwa ripoti ya ajenda kumi za ushirikiano wa vyama hivi viwili. Akizungumza alipopokea ripoti hiyo hapa Nairobi, rais Ruto pamoja n
Advertisement