Back to home
Zaidi ya watu 2,500 kutoka Nyakach, kaunti ya Kisumu waathirika kufuatia mafuriko
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 10, 2026
5h ago
Zaidi ya watu 2,500 kutoka nyakach kaunti ya kisumu wameathirika kufuatia mafuriko na zaidi ya wakazi 700 wamelazimika kuhama nyumbani kwao baada ya mafuriko makubwa kuvamia boma zao.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news up
Advertisement
Advertisement





